Monday, 24 October 2016



Mfalme wa Morocco Mohamed  (vi) amewasili  nchini tanzania 23/10/2016 katika ziara yake ya siku tatu.
Katika ziara yake hiyo ameahidi kufanya  mambo makubwa mawili,
1.Kujenga Msikiti mkubwa Dar Es Salaam
2.Kujenga Uwanja wa michezo Dodoma

Tanzania imetia saini mikataba 21 na Nchi ya Morocco ikiwa ni Kuonyesha Uhusiano mkubwa uliopo kati ya Nchi hizi mbili.

Tayari Wameshakubaliana kuwa askari 150 wataenda Morocco kuchukua Mafunzo..


Related Posts:

  • VYUO VIKUU HALI MOTO,HAKUKALIKI Kadhia ya kucheleweshwa kwa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu,imekuwa kikwazo kikubwa kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kumekuwa na Mtafaruku mkubwa kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutokana na kuchelewa kwa mikopo kutoka … Read More
  • Angalia hapa kama umepata mkopo au la 2016/2017! KARIBU KATIKA KURASA HII Kurasa hii inatoa muongozo kwa Anayetaka kuangalia kama Muombji wa Mkopo kutoka Bodi ya mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu kama amepata mkopo au la! BONYEZA HAPA KUANGALIA MAELEKEZO: Ukishaing… Read More
  • MFALME MOHAMED VI WA MOROCCO AWASILI NCHINI Mfalme wa Morocco Mohamed  (vi) amewasili  nchini tanzania 23/10/2016 katika ziara yake ya siku tatu. Katika ziara yake hiyo ameahidi kufanya  mambo makubwa mawili, 1.Kujenga Msikiti mkubwa Dar Es Sa… Read More

ZILIZO HOT

MCHINGA BLOG

  • NI YA KWAKO
  • JIVUNIE
  • HAMASIKA
  • BURUDIKA
  • ELIMIKA
  • HABARIKA