Monday 24 October 2016



Mfalme wa Morocco Mohamed  (vi) amewasili  nchini tanzania 23/10/2016 katika ziara yake ya siku tatu.
Katika ziara yake hiyo ameahidi kufanya  mambo makubwa mawili,
1.Kujenga Msikiti mkubwa Dar Es Salaam
2.Kujenga Uwanja wa michezo Dodoma

Tanzania imetia saini mikataba 21 na Nchi ya Morocco ikiwa ni Kuonyesha Uhusiano mkubwa uliopo kati ya Nchi hizi mbili.

Tayari Wameshakubaliana kuwa askari 150 wataenda Morocco kuchukua Mafunzo..


ZILIZO HOT

MCHINGA BLOG

  • NI YA KWAKO
  • JIVUNIE
  • HAMASIKA
  • BURUDIKA
  • ELIMIKA
  • HABARIKA